Posted on 2018-02-24 14:40:09

Chuo cha Morogoro School Of Innovation And Develepment Studies wamefanya Mahafali ya 21 Yaliyofanyika Leo Tarehe 24.02.2018 Siku ya Jumamosi Katika Ukumbi wa : Glonency Uliopo Mkoa wa Morogoro, Tanzania Muda wa saa 3:00 Asubuhi mpaka saa 8:00 Mchana

Mkuu wa Chuo Cha uandishi wa habari na Utangazaji MSIDS- Ndugu. John Kidasi

MEZA KUU: (wapili kutoka Kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi za mafunzo (UTI) ,

Akifuatia Mkuu wa Chuo Cha uandishi wa habari na Utangazaji MSIDS- Ndugu. John Kidasi.

Nyuma: Wafanyakazi wa Taasisi ya  Chuo Cha uandishi wa habari na Utangazaji

MSIDS- Pamoja wageni waalikwa

Wanafunzi ambao ndio Wahitimu wa kwenye mahafali ya 21 

Chuo Cha uandishi wa habari na Utangazaji MSIDS-